Tanzania MpyA+

Barabara ya Mzunguko ya Dodoma kuitwa Barabara ya Dkt. Akinwumi Adesina

Katika kutambua mchango mkubwa wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika katika utekelezaji wa miradi hiyo na katika kuchangia maendeleo ya miundombinu nchini Tanzania, Rais Dkt. Samia ameridhia pendekezo la Wizara ya Ujenzi la kuipa jina barabara hiyo ya mzunguko wa nje wa Dodoma la “Barabara ya Dkt. Akinwumi …

Soma zaidi »

RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE AMPONGEZA RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUKAMISHA MIRADI

RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AMPONGEZA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KWA UKAMILISHAJI WA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ametoa pongezi za dhati kwa Rais wa awamu ya sita, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa …

Soma zaidi »

🅻🅸🆅🅴 RAIS DKT. SAMIA AKITEMBELEA BARABARA YA MZUNGUKO DODOMA (KM 112.3) NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akitembelea Barabara ya Mzunguko Dodoma (Km. 112.3) na Kuzungumza na Wananchi, leo tarehe 14 Juni, 2025. #section4wakilitv #bunge #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #bungenidodoma #chadema #chademamedia #tls #tundulissu #tls #mwabukusi #uchaguzimkuu2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu

Soma zaidi »

Kaulimbiu ya Maadhimisho hayo kimataifa ni ‘Kudai Haki Zetu, Kulinda Ngozi Zetu, Hifadhi Maisha Yetu’.

Aidha, Kitaifa, kaulimbiu ya Maadhimisho hayo ni: “Ushiriki katika Uchaguzi ni Haki Yetu: Kuchagua na Kuchaguliwa, Linda Haki za Watu Wenye Ualbino.”

Soma zaidi »

GAWIO HILI LINAENDA KUPUNGUZA UTEGEMEZI – RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Katika hotuba yake yenye msisitizo mkubwa wa maendeleo na uwajibikaji, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameeleza kwa kina jinsi gawio kutoka kwenye mashirika ya umma linavyokwenda kupunguza utegemezi wa bajeti kutoka kwa wahisani na kuimarisha uchumi wa ndani. Tazama ujumbe huu muhimu unaogusa …

Soma zaidi »

USIMAMIZI WA TAHSISI UNAENDA KUWA KWA KIWANGO CHA JUU – RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kuwa serikali yake imejipanga kuboresha usimamizi wa taasisi mbalimbali kwa kiwango cha juu zaidi ili kuhakikisha uwajibikaji, ufanisi na utoaji bora wa huduma kwa wananchi. Katika hotuba hii, Mhe. Rais Samia anaeleza hatua madhubuti zinazochukuliwa kuimarisha mifumo ya …

Soma zaidi »

🅻🅸🆅🅴 :🔴 . WAZIRI WA FEDHA MWIGULU NCHEMBA AKISOMA BAJETI KUU YA SERIKALI

ORODHA YA SHUGHULI ZA LEO I.DUA II.HATI ZA KUWASILISHA MEZANI III.MASWALI IV.HOJA ZA SERIKALI #section4wakilitv #bunge #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #bungenidodoma #chadema #chademamedia #tls #tundulissu #tls #mwabukusi #uchaguzimkuu2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu

Soma zaidi »

🅻🅸🆅🅴 :🔴 . BUNGE LA KUMI NA MBILI, MKUTANO WA KUMI NA TISA, KIKAO CHA 45, 12 JUNI 2025

ORODHA YA SHUGHULI ZA LEO I.DUA II.HATI ZA KUWASILISHA MEZANI III.MASWALI IV.HOJA ZA SERIKALI #section4wakilitv #bunge #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #bungenidodoma #chadema #chademamedia #tls #tundulissu #tls #mwabukusi #uchaguzimkuu2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu

Soma zaidi »

HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIPOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA KWA TAASISI NA MASHIRIKA YA UMMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Hafla ya Kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Tasisi na Mashirika ya Umma Ikulu Dar es salaam, leo tarehe 10 Juni, 2025. #section4wakilitv #bunge #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #bungenidodoma #chadema #chademamedia #tls #tundulissu #tls #mwabukusi #uchaguzimkuu2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu

Soma zaidi »