Kampuni ya IPP imetangaza kuanza ujenzi wa kiwanda cha kwanza cha kutengeneza simu janja maarufu kama smartphone, simu zitakazokuwa na uwezo wa kukaa na chaji kwa muda wa wiki moja na kwa wasiokuwa na umeme wanaweza chaji kwa nguvu ya Jua. Kiwanda hicho kitakachokuwa cha kwanza nchini na Afrika Mashariki, …
Soma zaidi »UJENZI WA MGODI WA MFANO LWAMGASA UMEKAMILIKA KWA 80%
Hadi kufikia Septemba, 2018 kazi ya Ujenzi wa Mgodi wa Mfano Lwamgasa na usimikaji wa mitambo ya uchenjuaji imekamilila kwa asilimia 80 Mkoani Geita. Lengo la mgodi huo ni kutoa elimu kwa wachimbaji wadogo kuhusu uchimbaji sahihi na uchenjuaji bora wa madini ya dhahabu. Mgodi wa Mfano wa Lwamgasa ambao …
Soma zaidi »HATUWEZI KUENDELEA KUAGIZA SUKARI WAKATI TUNA UWEZO WA KUFANIKISHA UZALISHAJI – Dkt. TIZEBA
Serikali imeipa changamoto Bodi ya sukari nchini kutekeleza majukumu yake kwa weledi ikiwa ni pamoja na kusisitiza kuhuisha uzalishaji wa sukari kwa wingi ili kuondokana na uagizaji wa sukari kutoka nje ya nchi. KaMpuni mbalimbali za uzalishaji wa sukari nchini zimeitikia wito wa Serikali wa kuongeza uzalishaji wa sukari ili …
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MAONYESHO YA WIKI YA VIWANDA MKOANI PWANI.
MSIMAMO WETU NI ULEULE KUHUSU MKATABA WA EPA – Prof. KABUDI
Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi ameongoza ujumbe wa Tanzania ulioshiriki mkutano wa pamoja wa 16 wa Mawaziri wa Biashara wa nchi za Afrika, Karibeani na Pasifiki (ACP) na Umoja wa Ulaya (EU) uliofanyika jijini Brussels nchini Ubelgiji Oktoba 26, 2018. Mbali na Mkutano huo, Mheshimiwa Profesa Kabudi alishiriki …
Soma zaidi »LIVE: Ufunguzi wa Maonesho ya Viwanda Pwani
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Mkoa wa Pwani ambapo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ni mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonesho ya Viwanda Pwani.
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AKATAA KUZINDUA STENDI YA MAILI MOJA KIBAHA
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekataa kuzindua stendi kuu mpya ya Mailimoja Kibaha mkoani Pwani, akiwa katika ziara yake mkoani humo. Hatua hiyo ameifikia kutokana na kupata wasiwasi wa utekelezaji wa mradi kuwa na baadhi ya mapungufu ambapo amedai baada ya kufanya uchunguzi wiki mbili ama tatu zijazo atakwenda …
Soma zaidi »SHIRIKA LA NDEGE (ATCL) LIMEONDOLEWA VIKWAZO NA SHIRIKA LA IATA.
Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limeondolewa vikwazo ilivyokuwa imewekewa na Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (IATA) na ICH kuanzia Oktoba 2018, baada ya kutimiza masharti. ATCL ilipoteza uanachama wake wa IATA mwaka 2008 kutoka na malimbikizo ya madeni.
Soma zaidi »HAKI ZOTE ZA FIDIA KWA WANANCHI ZITALIPWA – MAKAMU WA RAIS
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali italipa fidia kwa wananchi katika maeneo ambayo miradi ya Serikali imepita. Makamu wa Rais ameyasema hayo wakati akihutubia wakazi wa Manerumango kwenye uwanja wa shule ya msingi Maneromango wilayani Kisarawe mkoani Pwani. “Nataka niwahakikishie wananchi wote kila kipande cha ardhi cha mtu …
Soma zaidi »VIJIJI PEMBEZONI MWA HIFADHI ZA TAIFA KUNUFAIKA NA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) imeanza kazi ya uandaaji wa mipango ya matumizi ya ardhi katika Wilaya na vijiji vinavyozunguka hifadhi za Taifa za wanyamapori ili kulinda mipaka ya hifadhi za Taifa pamoja na kuondoa migogoro …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+