Tanzania MpyA+

TUFANYE DUA NA SALA KWAAJILI YA TAIFA LETU – MHE. RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Ni wakati wa kutafakari, kushirikiana na kuombea amani, mshikamano na maendeleo ya Watanzania wote. Dua hii inalenga kutuunganisha kama taifa moja lenye upendo na mshikikano, huku tukimshukuru Mungu kwa baraka na neema nyingi alizotujalia, na kuomba mwongozo wake katika safari ya kujenga Tanzania yenye heshima, ustawi na mshikamano wa kudumu. …

Soma zaidi »

TUFANYE KAZI MOJA YA KUIJENGA NCHI YETU – RAIS WA ZANZIBAR MHE DK. HUSSEIN ALI MWINYI

“Tufanye Kazi Moja ya Kuijenga Nchi Yetu” – Kauli ya Rais wa Zanzibar Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi inatukumbusha wajibu wa kila Mtanzania kushirikiana kwa mshikamano, mshikikano na uzalendo katika kuleta maendeleo ya taifa letu. 🇹🇿 Katika hotuba hii yenye msisitizo, Rais Mwinyi anahamasisha mshikamanio kati ya wananchi na viongozi, …

Soma zaidi »

MAENDELEO YANAKUJA KWA KUFANYA KAZI – DKT. BITEKO

“Tangu kuanza kwa mradi wa EACOP mwaka 2022 hadi sasa, jumla ya Watanzania 9,194 wamepata nafasi za kufanya kazi ndani ya mradi na hivyo kuwa fursa kwao ya kujipatia kipato, mwaka 2024 kampuni ilitoa mafunzo maalumu kwa Vijana 170 na kuwapatia kazi kwenye mradi, Vijana wengine 110 wapo katika masomo …

Soma zaidi »