Tanzania MpyA+

WATUHUMIWA 940 MBARONI KWA TUHUMA ZA DAWA ZA KULEVYA

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) imekamata kilogramu 33,077.623 za dawa za kulevya aina mbalimbali huku ikiwashikilia watuhumiwa 940 kuhusika kwenye matukio tofauti ya uhalifu wa dawa za kulevya. Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo, akizungumuza na waandishi wa Habari leo Septemba 8,2025 jijini Dar …

Soma zaidi »

🔴#LIVE: RAIS SAMIA ATINGA MBEYA MJINI KWA KISHINDO MUDA HUU, DIAMOND AKITOA BURUDANI NZITO

Rais Samia Suluhu Hassan amewasili Mbalizi, Mbeya, kwa kishindo kikubwa akipokelewa na umati wa wananchi waliojitokeza kumpokea. Katika hotuba yake, amewaomba wananchi waendelee kumpa imani na kura kwa ajili ya kiti cha urais. Katika tukio hili la kihistoria, wananchi wa Mbeya wameonesha mshikamano na furaha kubwa huku wakisifu maendeleo na …

Soma zaidi »

🔴 LIVE: SAMIA SULUHU HASSAN AINGIA KWA KISHINDO MBEYA – MBALIZI

Rais Samia Suluhu Hassan amewasili Mbalizi, Mbeya, kwa kishindo kikubwa akipokelewa na umati wa wananchi waliojitokeza kumpokea. Katika hotuba yake, amewaomba wananchi waendelee kumpa imani na kura kwa ajili ya kiti cha urais. Katika tukio hili la kihistoria, wananchi wa Mbeya wameonesha mshikamano na furaha kubwa huku wakisifu maendeleo na …

Soma zaidi »

🔴CCM INAZINDUA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU 2025 KAWE DAR ES SALAAM, AGOSTI 28, 2025

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Mgombea Urais wa Tanzania kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi kampeni za CCM kupitia tiketi ya chama hicho leo tarehe 28 Agosti 2025, katika Viwanja vya Tanganyika Peckers, Kawe – Dar es Salaam. Katika uzinduzi huu, …

Soma zaidi »

DKT. SAMIA AANZA RASMI SAFARI YA UCHAGUZI – ACHUKUA FOMU NEC KWA USHINDI WA CCM

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, amechukua rasmi fomu ya uteuzi katika Tume Huru ya Uchaguzi, kuashiria mwanzo wa safari ya uchaguzi kwa chama tawala. Tukio hili limehudhuriwa na viongozi waandamizi wa CCM, wafuasi, na wananchi …

Soma zaidi »