Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameandika historia nyingine katika sekta ya usafirishaji nchini kwa kuzindua rasmi usafirishaji wa mizigo kupitia Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Kwala, mkoani Pwani.
Uzinduzi huu unaashiria mwanzo mpya wa mageuzi ya kimkakati katika usafiri wa mizigo nchini na kanda ya Afrika Mashariki, kwa lengo la kupunguza gharama, kuongeza ufanisi na kurahisisha biashara kati ya Tanzania na nchi jirani.
Tazama tukio hili muhimu lililojumuisha viongozi waandamizi wa Serikali, wadau wa sekta ya usafirishaji na wananchi kutoka maeneo mbalimbali.
#SGRTanzania #RaisSamia #MizigoKwaSGR #KwalaTerminal #MageuziYaUsafiri #TanzaniaInajengwa
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+