MIUNDOMBINU

Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan akikagua barabara Dodoma

Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti tofauti ya picha alipotembelea na kukagua Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko wa Nje Dodoma (Outer Ring Road) yenye urefu wa Km 112.3 kutoka Mtumba – Veyula – Msalato wakati wa ziara yake Mkoani humo leo Juni 14,2025.

Soma zaidi »

MHE. RAIS DKT. SAMIA AKITEMBELEA BARABARA YA MZUNGUKO DODOMA (KM 112.3) NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akitembelea Barabara ya Mzunguko Dodoma (Km. 112.3) na Kuzungumza na Wananchi, leo tarehe 14 Juni, 2025. #section4wakilitv #bunge #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #bungenidodoma #chadema #chademamedia #tls #tundulissu #tls #mwabukusi #uchaguzimkuu2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu

Soma zaidi »

MHE. RAIS DKT. SAMIA AKITEMBELEA BARABARA YA MZUNGUKO DODOMA (KM 112.3) NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akitembelea Barabara ya Mzunguko Dodoma (Km. 112.3) na Kuzungumza na Wananchi, leo tarehe 14 Juni, 2025. #section4wakilitv #bunge #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #bungenidodoma #chadema #chademamedia #tls #tundulissu #tls #mwabukusi #uchaguzimkuu2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu

Soma zaidi »

DARAJA LA KIGONGO–BUSISI: MAPINDUZI YA MIUNDOMBINU TANZANIA 🇹🇿 | SAFARI YA MAENDELEO

Daraja la Kigongo–Busisi, maarufu kama Daraja la John Pombe Magufuli, ni mradi mkubwa wa miundombinu unaounganisha Mkoa wa Mwanza na Geita, Tanzania. Kwa urefu wa kilomita 3.2, daraja hili litakuwa daraja refu zaidi Afrika Mashariki na la sita kwa urefu barani Afrika 🌍. Kabla ya ujenzi wa daraja hili, safari …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AKAGUA MABORESHO YA MRADI WA GATI MBILI MPYA MRADI WA BANDARI YA TANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 1 Machi 2025, amefanya ziara ya ukaguzi katika Bandari ya Tanga ili kujionea maendeleo ya mradi wa maboresho unaojumuisha ujenzi wa gati mbili mpya. Mradi huu unalenga kuboresha uwezo wa bandari hiyo katika kuhudumia shehena kubwa …

Soma zaidi »

WAKAZI WA WILAYA YA LUSHOTO WAFURAHISHWA NA UJIO WA MHE. RAIS, WAAHIDI KUMPIGIA KURA OCTOBA 2025.

Wakazi hao wameeleza hayo kutokana na kuridhishwa na utekelezwaji wa miradi ya maji, barabara, afya, kilimo na ujenzi wa jengo la utawala ya Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli ambalo litatumika kutoa huduma kwa wananchi.Pia, vijana wa Lushoto wanatarajia/waliotimiza miaka 18 wamewasihi vijana wenzao katika maeneo mbalimbali nchini kujiandikisha kwenye daftari …

Soma zaidi »