Matokeo ChanyA+

TUNA JIFUNZA NINI KUTOKA KWA FAMILIA YA MAMA HOMELAND FARM?

Kutoka kwa familia ya Mama Homeland Farm tunaweza kujifunza mambo muhimu sana kuhusu maisha, mshikamano na thamani za kijamii. Hapa kuna masomo makuu: 1. Thamani ya Kazi ya Pamoja Familia ya Mama Homeland Farm huonyesha jinsi kila mwanakaya akishirikiana kwa juhudi na mshikamano, mafanikio yanaweza kufikiwa. Wanafamilia hushirikiana katika kazi …

Soma zaidi »

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango, akiwasili Jijini New York nchini Marekani leo tarehe 21 Septemba 2025. Makamu wa Rais yupo nchini Marekani kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Kikao cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA 80).

Soma zaidi »

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu ya dini ikiwemo BAKWATA na wadau wote wa elimu katika kuimarisha maadili, kuendeleza maarifa na kuleta mshikamano wa kitaifa kupitia elimu.

Amesema kuwa elimu haiwezi kukamilika kama hakuna maadili kwani ndiyo yanayojenga utu, heshima na mshikamano wa kijamii. “Serikali ya Awamu ya Sita imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha elimu inakuza maarifa na ujuzi, sambamba na malezi yanayoimarisha tabia bora na maadili ya kizalendo kwa vijana wa Kitanzania”. Amesema hayo Jumamosi Septemba …

Soma zaidi »