Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi (wa pili kulia) akiwa na baadhi ya wadau wa maendeleo kuongelea uwezekano wa kupata fursa za miradi kwenye Hifadhi Hai katika Kongamano la Dunia la Programu ya UNESCO ya Binadamu na Hifadhi Hai lililofanyika Hangzhou, China
Mazingira yetu, Uhai wetu. Tuyalinde yatulinde
NEMC yashiriki kongamano la Dunia la Programu ya UNESCO ya Binadamu na Hifadhi Hai lililofanyika jijini Hangzhou nchini China kuanzia Septemba 22-25, 2025. NEMC na TANAPA ni wawakilishi kutoka Tanzania katika kongamano hilo
FAHAMU KUHUSU SIKU YA FARU DUNIANI NA NAMNA NEMC WALIVYOUNGANA NA TANAPA KUADHIMISHA KWA MWAKA 2025
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na TANAPA wameadhimisha Siku ya Faru Duniani ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi, Same mkoani Kilimanjaro Septemba 22,2025.
Soma zaidi »TUNA JIFUNZA NINI KUTOKA KWA FAMILIA YA MAMA HOMELAND FARM?
Kutoka kwa familia ya Mama Homeland Farm tunaweza kujifunza mambo muhimu sana kuhusu maisha, mshikamano na thamani za kijamii. Hapa kuna masomo makuu: 1. Thamani ya Kazi ya Pamoja Familia ya Mama Homeland Farm huonyesha jinsi kila mwanakaya akishirikiana kwa juhudi na mshikamano, mafanikio yanaweza kufikiwa. Wanafamilia hushirikiana katika kazi …
Soma zaidi »AMANI YETU INATUHUSU
@wolperstylishtz @makavu @ladyjaydee_ @efraziamakene @mrlovebite27 @officialzuchu @africanboyjux @abigail_chams @hamisamobetto @daynanyangetz @rayvanny_chui @diamondplatnumz @missgrandtanzania @killer_msodoki @kondeboy_tz @amina_jigge
Soma zaidi »NEMC kwa kushirikiana na TANAPA wameadhimisha Siku ya Faru Duniani ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi, Same mkoani Kilimanjaro
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango, akiwasili Jijini New York nchini Marekani leo tarehe 21 Septemba 2025. Makamu wa Rais yupo nchini Marekani kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Kikao cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA 80).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu ya dini ikiwemo BAKWATA na wadau wote wa elimu katika kuimarisha maadili, kuendeleza maarifa na kuleta mshikamano wa kitaifa kupitia elimu.
Amesema kuwa elimu haiwezi kukamilika kama hakuna maadili kwani ndiyo yanayojenga utu, heshima na mshikamano wa kijamii. “Serikali ya Awamu ya Sita imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha elimu inakuza maarifa na ujuzi, sambamba na malezi yanayoimarisha tabia bora na maadili ya kizalendo kwa vijana wa Kitanzania”. Amesema hayo Jumamosi Septemba …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+