DIPLOMASIA

DARAJA LA KIGONGO–BUSISI: MAPINDUZI YA MIUNDOMBINU TANZANIA 🇹🇿 | SAFARI YA MAENDELEO

Daraja la Kigongo–Busisi, maarufu kama Daraja la John Pombe Magufuli, ni mradi mkubwa wa miundombinu unaounganisha Mkoa wa Mwanza na Geita, Tanzania. Kwa urefu wa kilomita 3.2, daraja hili litakuwa daraja refu zaidi Afrika Mashariki na la sita kwa urefu barani Afrika 🌍. Kabla ya ujenzi wa daraja hili, safari …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ambae pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Organ) akishiriki

Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa nchi na Serikali wa SADC kwa njia ya Mtandao pamoja na Viongozi mbalimbali, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Machi 2025. Mkutano huo pamoja na mambo mengine unajadili hali ya Ulinzi na Usalama Mashariki mwa Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Soma zaidi »