Kukamilisha mazungumzo ya kuongeza ushiriki wa uwekezaji wa TPDC kwenye kitalu cha gesi Mnazi Bay mkoani Mtwara, ili kuongeza hisa na umiliki zaidi wa TPDC kwenye kitalu hicho kutoka 20% za sasa hadi 40%. Kufungua fursa kwa sekta binafsi kupitia Kongamano la Biashara na Uwekezaji kwa lengo la kuvutia uwekezaji …
Soma zaidi »3.Reforms (Mageuzi): Changamoto za kisheria: Madai ya CHADEMA kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi na Katiba Mpya zinaashiria umuhimu wa mageuzi na maboresho ya kisheria. yanaweza kuonekana kama hatua za kutekeleza mageuzi na kudumisha utulivu. #MSLAC
Resilience (Uimara): Fursa za upinzani kutoa maoni yao: Kutoa ruhusa kwa maandamano kunaweza kutazamwa kama ishara ya uimara wa mfumo wa kisiasa wa nchi, ambapo vyama vya upinzani vinaweza kutoa sauti zao na kueleza malalamiko yao. #MSLAC #mamasamialegalaidcampaign
MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
MAJIBU: Swali lililouzizwa kwa Makatibu wakuu wa Vyama juu ya uelewa wao wa falsafa ya Rais Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN ya 4R’s (Reconciliation, Resilience, Reforms na Rebuilding. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #KaziIendelee pic.twitter.com/M617uI0me3— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024
Soma zaidi »MISWADA YA SHERIA ZA UCHAGUZI NA SHERIA ZA VYAMA VYA SIASA
Madhumuni muhimu Ya mkutano huu, ni kujadili na kuelewa kwa kina falsafa ya "4R" iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan. "4R" inaashiria Reconciliation (Maridhiano), Reforms (Mageuzi), Regulations (Sheria), na Rebranding (Kuibadilisha Upya). #ImarishaDemokrasia @ikulumawasliano pic.twitter.com/oyISgqPJXb— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024
Soma zaidi »MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Maridhiano yamejenga mazingira yanayofaa kwa ushirikiano wa pande zote kufanya kazi pamoja kufikia malengo ya pamoja, kufanya marekebisho ya sheria mbalimbali hivyo kukuza umoja na maendeleo ya pamoja. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #KaziIendelee pic.twitter.com/YBqZq7SRwu— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024
Soma zaidi »MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Maridhiano yamesaidia katika uponyaji wa kihisia na yameleta ukweli wa kihisia na kiroho. Maridhiano yamesaidia watu au jamii zilizoathiriwa na migogoro kusonga mbele na kupona kutokana na majeraha ya kihisia. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #KaziIendelee pic.twitter.com/buHoyHkQO8— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024
Soma zaidi »MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Rais Mhe. DKT SAMIA alianzisha falsafa ya 4R’s Reconciliation, Resilience, Reforms na Rebuilding ili kudumisha amani, utulivu na kushughulikia masuala ya siasa, kijamii na kiuchumi nchini. Ni vyema zitafsiriwe kwa lugha ya Kiswahili. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #KaziIendelee pic.twitter.com/cBDKbhEWQU— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024
Soma zaidi »MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Maridhiano yamewezesha kurejesha mahusiano yaliyovunjika. yamejenga daraja la uelewa, imani, na mawasiliano mazuri, hivyo yameimarisha uhusiano kati ya viongozi wa vyama vyote vya Siasa. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #BarazaLaVyamaVyaSiasa #KaziIendelee pic.twitter.com/3mRf2AWdyG— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024 Kujenga Jamii Iliyostahimilivu: Kupitia mageuzi, jamii inaweza kujenga uwezo wa kustahimili changamoto za kisiasa, kiuchumi, …
Soma zaidi »4R’s za Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
4R’s za Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ni muongozo wa jinsi siasa za taifa hili zinapaswa kufanywa. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani Mkutano wa Baraza la vyama vya Siasa 03/01/2024 pic.twitter.com/Cazsh938mA— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 3, 2024
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+