Demokrasia

JE, UNAFAHAMU JINSI BWAWA LA UMEME LA MWALIMU NYERERE LINAVYOBADILISHA MAISHA YA WATANZANIA

Karibu katika video hii maalum inayochambua kwa kina mradi mkubwa wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP), mradi wa kihistoria unaotarajiwa kuzalisha megawati 2,115 za umeme. Mradi huu unalenga kuongeza uwezo wa uzalishaji wa umeme nchini kutoka megawati 1,900 hadi zaidi ya 4,000, hatua itakayosaidia kukabiliana na mgao …

Soma zaidi »

KIPINDI CHA UCHAGUZI NI KIPINDI CHA KUWAELEKEZA WATU…! RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisisitiza umuhimu wa kutoa elimu kwa wananchi kuhusu masuala ya uchaguzi, demokrasia, na maamuzi sahihi ya kuijenga nchi. Katika ujumbe huu wa kihistoria, Rais Samia anawakumbusha viongozi wa kisiasa, taasisi, na wananchi kwa ujumla kuwa kipindi cha uchaguzi …

Soma zaidi »

#uchaguzi2025 Maandalizi ya Amani yatazaa matunda ya Amani

Amani ni nguzo kuu katika uchaguzi mkuu wa 2025 nchini Tanzania. Bila amani, hakuna uchaguzi huru, haki, wala maendeleo ya demokrasia. Amani hutuliza jamii, huimarisha mshikamano, na kuruhusu wananchi kushiriki uchaguzi kwa utulivu, uhuru na matumaini ya kesho bora. #amaniNaUtulivu

Soma zaidi »

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AKAGUA KAMPASI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM MKOANI KAGERA

Katika tukio la kihistoria mkoani Kagera, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, ameongoza uzinduzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hatua muhimu ya kupeleka elimu ya juu karibu zaidi na wananchi wa Kanda ya Ziwa. Tukio hili limechukua sura ya kipekee baada ya wananchi …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais wa Jamhuri ya Angola Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço wakati akihitimisha ziara yake ya Kiserikali, Luanda nchini Angola tarehe 09 Aprili, 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa wakati akihitimisha Ziara yake ya Kiserikali Luanda nchini Angola.

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro Luanda kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 nchini Angola tarehe 07 Aprili, 2025

Samia amealikwa na Rais wa Angola Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço na lengo la Ziara hiyo ni kukuza na kuimarisha zaidi mahusiano ya kihistoria na kidugu baina ya Tanzania na Angola.

Soma zaidi »