LIVE : MHE. RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA KANISA LA ARISE & SHINE KAWE DAR ES SALAAM.

Tazama hotuba ya kihistoria ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliposhiriki na kuongoza Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika kitaifa katika uwanja wa Mashujaa, Mtumba – Dodoma.

Katika hotuba hii, Rais Samia anatoa heshima kwa mashujaa waliopigania uhuru, amani na maendeleo ya Taifa, huku akisisitiza wajibu wa kizazi cha sasa kuendeleza uzalendo, mshikamano na ujenzi wa taifa imara. Pia anagusia nafasi ya vijana, jeshi na wananchi wote katika kulinda tunu za taifa letu.

#SikuYaMashujaa2025 #RaisSamia #MtumbaDodoma #MashujaaWaTanzania #Uzalendo #TanzaniaKwanza #HotubaYaRais

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *