Katika mwaka wa fedha wa 2023/2024, bajeti ya Wizara ya Kilimo iliongezeka hadi TZS 970.79 bilioni, ikiwa na ongezeko la asilimia 29.24 ikilinganishwa na mwaka uliopita. Ongezeko hili linaashiria juhudi za serikali kuimarisha sekta ya kilimo na kuongeza uzalishaji​

#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #Kilimo

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *