Ufugaji wa samaki kwa vizimba ni mfano halisi wa jinsi teknolojia na ubunifu vinavyoweza kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa Watanzania.
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: October 9, 2025
NEMC NA ZEMA ZAIMARISHA MAHUSIANO NA MASHIRIKIANO KATIKA UHIFADHI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA NCHINI
NEMC kupitia ofisi yake ya Kanda ya Bagamoyo imetoa elimu ya mazingira kwa Shule ya Msingi Nia Njema leo Oktoba 9, 2025.
Elimu hiyo iliyotolewa kwa walimu na wanafunzi imelenga kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.
Soma zaidi »NEMC na ZEMA zafikia makubaliano katika Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira nchini.
Makubaliano hayo yamefikiwa katika kikao kilichofanyika Oktoba 7 hadi 8, 2025 ambapo wajumbe wa Bodi na wataalamu kutoka taasisi hizo walikutana kubadilishana uzoefu kuhusu utekelezaji wa majukumu yao.
Soma zaidi »NEMC NA ZEMA ZAIMARISHA MAHUSIANO NA MASHIRIKIANO KATIKA UHIFADHI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA NCHINI
Uwekezaji wa Vizimba vya Samaki Jijini Mwanza – Fursa Kubwa ya Uchumi wa Maji
Ufugaji wa samaki kwa vizimba ni mfano halisi wa jinsi teknolojia na ubunifu vinavyoweza kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa Watanzania.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+