Matukio katika picha: Maandalizi ya uzinduzi wa Bandari Kavu ya Kwala na uanzishaji wa huduma ya usafiri ya treni ya mizigo ya reli ya kisasa (SGR) kati ya Dar es Salaam na Dodoma, sambamba na upokeaji wa mabehewa mapya na yaliyokarabatiwa ya reli ya zamani(MGR)Kwala, mkoani Pwani.
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: July 30, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea
Tayari kwa safari ya kueleke kwenye uzinduzi wa Kiwanda cha Majaribio cha Kuchenjua Urani cha Mantra Tanzania Limited kilichopo katika Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, tarehe 30 Julai, 2025.
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA KIWANDA CHA MAJARIBIO CHA UCHENJUAJI WA MADINI YA URANI, NAMTUMBO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizundua Kiwanda cha Majaribio cha Uchenjuaji wa Madini ya Urani Namtumbo Ruvuma, leo tarehe 30 Julai, 2025.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+