Tazama mubashara kutoka Dodoma ambapo Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inatangaza majina rasmi ya wagombea ubunge kuelekea uchaguzi mkuu. Huu ni wakati wa kusikiliza kwa makini, kufahamu mustakabali wa wawakilishi wetu, na kujua maamuzi ya chama tawala kuhusu safari ya uchaguzi.
📌 Usikose taarifa za kina, majina yote, na maelezo kutoka kwa viongozi wa juu wa CCM.
🔴 Endelea kuwa nasi LIVE kwa habari za uhakika na za moja kwa moja.
#CCM #Uchaguzi2025 #WagombeaUbunge #KamatiKuu #LIVEfromDodoma #ChamaChaMapinduzi #HabariMoto #BreakingNews
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+