Maktaba ya Kila Siku: July 28, 2025

MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA JIJINI DODOMA

Dodoma, 28 Julai 2025 — Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kilichofanyika leo katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama, Jijini Dodoma. Kikao …

Soma zaidi »