Wajibu wetu binafsi katika kulinda mazingira. Mazingira ni uhai—tukilinda mito, kupanda miti, na kudhibiti taka, tunalinda maisha yetu na vizazi vijavyo. Usisubiri mtu mwingine aanze. Chukua hatua leo: punguza matumizi ya plastiki, elimisha jirani yako, na uwe balozi wa mazingira kwa vitendo. Tazama video hii, shiriki na wengine, na kuwa …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+