Maktaba ya Kila Siku: July 12, 2025
DKT. DAMAS NDUMBARO ATATUA MIGOGORO MIZITO NDANI YA VIUNGA VYA SABASABA – 2025
Katika kilele cha Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, amefanya ziara maalum kwenye Banda la Katiba na Sheria na kusikiliza moja kwa moja malalamiko na migogoro ya wananchi. Tazama jinsi Dkt. Ndumbaro alivyosimamia haki, akatoa ushauri wa kisheria papo …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+