Maktaba ya Mwaka: 2024

Rais Samia Aongoza Safari ya Kihistoria kwa Treni ya SGR, Akionesha Mafanikio ya Miradi ya Kimkakati

Mnamo tarehe 23 Novemba, 2024, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alifanya safari kwa Treni ya Kisasa ya SGR kutoka Jijini Dar es Salaam hadi Stesheni ya Jakaya Kikwete mkoani Morogoro. Tukio hili linaakisi mafanikio makubwa katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayolenga kuboresha …

Soma zaidi »

“Dunia bila Njaa na Umaskini” Rais Samia Atoa mwito wa mageuzi ya haki katika mkutano wa G20.

Ninatoa shukrani zangu za dhati kwa Rais Lula da Silva kwa mwaliko na ukarimu wa hali ya juu. Leo, tunajikuta katika dunia iliyojaa utajiri wa rasilimali lakini bado Afrika inakumbwa na viwango vya umasikini, njaa, magonjwa, utapiamlo, na uzalishaji hafifu visivyoweza kudumishwa. Dunia ambako idadi kubwa ya vijana wanakabiliana na …

Soma zaidi »

Naibu Waziri Mkuu Dkt. Biteko Akagua Miradi ya CSR ya TPDC Msimbati, Mtwara

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, alifanya ziara wilayani Mtwara, kijijini Msimbati, ambapo alizungumza na wananchi baada ya kukagua majengo ya Kituo cha Afya na Kituo cha Polisi. Vituo hivi vimejengwa kwa kutumia fedha zilizotolewa kupitia Mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) wa Shirika la …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa Galeão Air Force Base Jijini Rio de Janeiro nchini Brazil

Haki Ngowi@Hakingowi Rio de Janeiro Mheshimiwa rais Samia mewasili huko kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa Kundi la G20. Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Mhe. Luiz Inácio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)

Mheshimiwa rais anaelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa kundi la G20. Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Mhe. Luiz Ińacio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga kuimarisha ushirikiano …

Soma zaidi »

Tanzania ina utajiri wa rasilimali na fursa za kiuchumi zinazotofautiana kulingana na mikoa yake. Kila mkoa una sifa maalum zinazoweza kuchangia katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii

Mkoa wa Dar es Salaam Biashara na Huduma Kama kitovu cha kibiashara na bandari kuu nchini, Dar es Salaam ina fursa nyingi katika sekta za biashara, usafirishaji, na huduma za kifedha. Viwanda Uwepo wa viwanda vingi hutoa nafasi za ajira na uwekezaji katika uzalishaji wa bidhaa mbalimbali. Mkoa wa Arusha …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU AONGOZA MAZIKO YA MAREHEMU LAWRENCE MAFURU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 15, 2024 ameungana na ndugu, jamaa, marafiki na viongozi wengine wa Serikali katika mazishi ya aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Tume ya Mipango, Marehemu Lawrence Nyasebwa Mafuru. Maziko hayo yamefanyika katika Makaburi ya Kondo, Ununio jijini Dar es Salaam. Marehemu Mafuru alifariki Novemba 09, 2024 …

Soma zaidi »

Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa mstari wa mbele katika kuhimiza ushirikishaji wa jamii katika mapambano dhidi ya njaa nchini Tanzania. Ameweka msisitizo kwenye kuboresha usalama wa chakula kupitia mipango mbalimbali inayolenga kuongeza uzalishaji wa kilimo na kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa wananchi wote

Katika mkutano wa G20 unaotarajiwa kufanyika Rio de Janeiro, Brazil, tarehe 18 hadi 19 Novemba 2024, Rais Samia amealikwa kushiriki kama mgeni mwalikwa. Ushiriki wake katika mkutano huu ni fursa muhimu kwa Tanzania kuwasilisha ajenda zake kuhusu usalama wa chakula na ushirikishaji wa jamii katika mapambano dhidi ya njaa. Kupitia …

Soma zaidi »

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa mkono wa pole kwa wafiwa wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Marehemu Lawrence Nyasebwa Mafuru katika Viwanja vya Karimjee

Mhe. Dkt. Kikwete alifika hapo akitokea Uwanja wa Ndege moja kwa moja akitokea kuhudhuria vikao vya Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia masuala ya Elimu Duniani (GPE), ambayo yeye ni Mwenyekiti wake, jijini Washington DC, Marekani.

Soma zaidi »