Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikutana na kuzungumza na Sungusungu Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, leo tarehe 20 Juni, 2025 🔔 Usisahau kusubscribe, kupenda (like), na kushirikisha video hii kwa wengine. Tanzania ya Viwanda na Maendeleo Inawezekana! #RaisSamia #MradiWaMajiButimba #MaendeleoKwaWote #SamiaSuluhu #MajiNiUhai #TanzaniaYaMapinduzi
Soma zaidi »MHE RAIS. DKT, SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MRADI MKUBWA WA MAJI BUTIMBA
tarehe 20 Juni, 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefungua rasmi Mradi wa Maji wa Butimba jijini Mwanza na kuzungumza moja kwa moja na wananchi waliokusanyika kwa shangwe na matumaini makubwa. Mradi huu wa kimkakati unalenga kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama …
Soma zaidi »MHE RAIS. DKT, SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MRADI MKUBWA WA MAJI BUTIMBA
tarehe 20 Juni, 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefungua rasmi Mradi wa Maji wa Butimba jijini Mwanza na kuzungumza moja kwa moja na wananchi waliokusanyika kwa shangwe na matumaini makubwa. Mradi huu wa kimkakati unalenga kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama …
Soma zaidi »MAJI LAMADI MWA MWA MWAAAA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 #MatokeochanyA #OKTOBATUNATIKI
Soma zaidi »UWEKEZAJI WA UMMA UNAENDELEA KULETA MATOKEO CHANYA KATIKA TAIFA LETU
MRADI WA MAJI KUELEKEA TABORA
Tuzo za Habari za Matokeo ChanyA+ Sekta ya Maji
#SamiaKalamuAwards2025 #HayaNiMatokeoChanyA+
Soma zaidi »MZEE EDWARD PETER MAGANGA VIJANA SIMAMENI KULINDA AMANI NA KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Mzee Edward Peter Maganga ametoa wito kwa vijana wa Tanzania kusimama imara kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa vitendo, hasa kwa kulinda amani na utulivu wa nchi. Amesema maendeleo yaliyofikiwa hadi sasa yametokana na kuheshimu utaratibu, sheria na misingi ya kidemokrasia ambayo imeijenga Tanzania kuwa taifa lenye mshikamano. …
Soma zaidi »JE UNAJUA MAJI NI UHAI UNAOLINDA AFYA NA MAZINGIRA
Maji ni rasilimali muhimu inayochangia moja kwa moja katika afya ya binadamu na uhai wa mazingira yetu. Upatikanaji wa maji safi na salama husaidia kuzuia magonjwa, kuimarisha lishe, na kuboresha hali ya maisha kwa ujumla. Mbali na afya, maji yana mchango mkubwa katika kulinda mazingira kwa kusaidia ukuaji wa mimea, …
Soma zaidi »MRISHO MPOTO AELEZA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA MAJI.
Katika video hii, Msanii na Mwanaharakati wa Jamii, Mrisho Mpoto, anazungumzia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta ya maji nchini. Kupitia juhudi za serikali na wadau mbalimbali, wananchi wengi sasa wanapata maji safi na salama, jambo ambalo limeleta mabadiliko chanya katika afya, kilimo, na maendeleo ya kijamii. Mpoto anaeleza jinsi miradi …
Soma zaidi »