WIZARA YA ELIMU

WANANCHI DODOMA WAMPONGEZI RAIS SAMIA, WAHIMIZA ELIMU KUPINGA DAWA ZA KULEVYA IENEZWE NCHI NZIMA

Baadhi ya wananchi waliohudhuria fainali ya mpira wa miguu iliyofanyika katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Mtakatifu John, jijini Dodoma, wamepongeza jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kuendelea kuwekeza …

Soma zaidi »

TUNAHITAJI SANA ELIMU KWA JAMII ZETU KATIKA SWALA LA MAZINGIRA🌿

Mabadiliko ya tabianchi, uharibifu wa vyanzo vya maji, ukataji wa miti, na ongezeko la uchafuzi wa mazingira ni changamoto zinazotishia ustawi wa kizazi cha sasa na kijacho. Umuhimu wa kutunza mazingira katika maisha ya kila siku Namna elimu ya mazingira inaweza kusaidia kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi Jinsi jamii …

Soma zaidi »