Baadhi ya wananchi waliohudhuria fainali ya mpira wa miguu iliyofanyika katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Mtakatifu John, jijini Dodoma, wamepongeza jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kuendelea kuwekeza …
Soma zaidi »MHE. RAIS SAMIA NA MCHANGO WAKE KWENYE SHULE ZA AMALI , AHIMIZA WANAFUNZI KUJIBIDISHA
“Hatufunzi tu kwa darasani, tunajenga kizazi cha wabunifu na wachapakazi. Tanzania mpya ni ya vijana wenye ujuzi.” — Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Soma zaidi »Sekondari za Amali 103 Rasmi Kujengwa
Shule za amali husaidia vijana kupata ujuzi wa kazi, kukuza ajira, kupunguza umasikini, na kuchangia maendeleo ya viwanda na uchumi wa taifa kwa vitendo. #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #ZiaraYaRaisSimiyu #oktobatunatiki
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWEKA JIWE LA MSINGI KWA NIABA YA SHULE ZOTE 103 ZA SEKONDARI ZA AMALI NCHINI
SEKONDARI YA WASICHANA SIMIYU – BARIADI YAZINDULIWA
Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu akifungua shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu iliyopo Bariadi mkoani humo tarehe 16 Juni, 2025. #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #ZiaraYaRaisSimiyu #OKTOBATUNATIKI
Soma zaidi »TUNAHITAJI SANA ELIMU KWA JAMII ZETU KATIKA SWALA LA MAZINGIRA🌿
Mabadiliko ya tabianchi, uharibifu wa vyanzo vya maji, ukataji wa miti, na ongezeko la uchafuzi wa mazingira ni changamoto zinazotishia ustawi wa kizazi cha sasa na kijacho. Umuhimu wa kutunza mazingira katika maisha ya kila siku Namna elimu ya mazingira inaweza kusaidia kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi Jinsi jamii …
Soma zaidi »Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewasili Mkoani Iringa ambapo anatarajia kushiriki Maadhimisho ya Miaka Ishirini ya Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) yanayofanyika leo tarehe 14 Mei 2025 katika Viwanja vya Chuo hicho
Tuzo za Habari za Matokeo ChanyA+ Sekta ya Elimu
#SamiaKalamuAwards2025 #HayaNiMatokeoChanyA+
Soma zaidi »NAIBU WAZIRI KHAMIS HAMZA AZITAKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA NA NEMC KUTOA ELIMU YA FURSA ZA TAKA
UZALISHAJI WA UMEME NCHINI UNAZIDI KUONGEZEKA
#kazinaututunasongambele#sisinitanzania#matokeochanya#katibanasheria#nchiyangukwanza#kaziiendelee#SSH#MSLAC @ccm_tanzania @issatimbe2 @matokeochanya @MsLACampaign @sisiniTanzania @NCHIYANGUT @Sheria_Katiba
Soma zaidi »