BENKI KUU

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetunukiwa Tuzo Kuu ya Ubunifu katika Huduma Jumuishi za Fedha (Nestor Espenilla Jr. Financial Inclusion Innovation Award) inayotolewa na Jumuiya ya Huduma Jumuishi za Fedha (AFI), yenye wanachama 84 duniani.

Tuzo hiyo ilipokelewa na Naibu Gavana wa BoT anayeshughulikia Uthabiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha, Bi. Sauda Msemo, kwa niaba ya Gavana Bw. Emmanuel Tutuba, katika Mkutano Mkuu wa AFI uliofanyika hivi karibuni mjini Swakopmund, Namibia. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Septemba 15, 2025 wakati akitangaza tuzo hiyo, …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU MGENI RASMI KILELE MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TET

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Juni 17, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yanayofanyika katika Bamaga Jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi »

HILI NI JIJI LA MFANO KATIKA UTUNZAJI WA MAZINGIRA – Mhe. Rosemary S. Senyamule

๐Ÿ’ฌ Toa maoni yako: Unadhani miji mingine inajifunza nini kutoka Dodoma? ๐Ÿ‘ Like | ๐Ÿ” Share | ๐Ÿ”” Subscribe kwa taarifa zaidi za maendeleo nchini Tanzania! #Dodoma #Mazingira #SafiNaKijani #RosemarySenyamule #TanzaniaYaKijani #UsafiNaUtunzajiMazigira #MaendeleoEndelevu

Soma zaidi »