Tuzo hiyo ilipokelewa na Naibu Gavana wa BoT anayeshughulikia Uthabiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha, Bi. Sauda Msemo, kwa niaba ya Gavana Bw. Emmanuel Tutuba, katika Mkutano Mkuu wa AFI uliofanyika hivi karibuni mjini Swakopmund, Namibia. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Septemba 15, 2025 wakati akitangaza tuzo hiyo, …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU MGENI RASMI KILELE MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TET
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Juni 17, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yanayofanyika katika Bamaga Jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWEKA JIWE LA MSINGI KWA NIABA YA SHULE ZOTE 103 ZA SEKONDARI ZA AMALI NCHINI
HILI NI JIJI LA MFANO KATIKA UTUNZAJI WA MAZINGIRA – Mhe. Rosemary S. Senyamule
๐ฌ Toa maoni yako: Unadhani miji mingine inajifunza nini kutoka Dodoma? ๐ Like | ๐ Share | ๐ Subscribe kwa taarifa zaidi za maendeleo nchini Tanzania! #Dodoma #Mazingira #SafiNaKijani #RosemarySenyamule #TanzaniaYaKijani #UsafiNaUtunzajiMazigira #MaendeleoEndelevu
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+