TAMISEMI YA SAMIA Toleo Na. 01 – Julai 8, 2025
Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI)
Soma zaidi »JENGO LA OFISI YA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI BARIADI LAZINDULIWA
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu afungua Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Miji Bariadi, Simiyu tarehe 16 Juni, 2025. #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #ZiaraYaRaisSimiyu #OKTOBATUNATIKI
Soma zaidi »Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amezitaka Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kushirikiana kikamilifu katika kukamilisha mradi wa ujenzi wa shule 56 za kuendeleza vipaji vya michezo.
Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Dkt. Wilson Charles Mahela ameongoza kikao cha Makatibu Wakuu kwa lengo la kupitia andiko la Lishe kwa ajili ya mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika. #Matokeochanya+
Tangazo La Kuitwa Kazini
Waziri Wa Nchi Mhe Mchengerwa Akutana Na Mkurugenzi Mkazi Wa USAID Tanzania
Waziri wa Nchi @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkazi ‘Mission Director” wa Shirika la Misaada la Watu wa Marekani @USAIDTanzania, @craighart kwenye Ofisi ndogo za Wizara zilizopo magogoni jijini Dar es salaam leo
Soma zaidi »Taarifa Kwa Umma Kutoka TAMISEMI
UJENZI WA MAJENGO YA GHOROFA MTUMBA WASHIKA KASI
Katibu wa kikosi kazi cha Taifa cha kuratibu Serikali kuhamia Dodoma na ujenzi wa mji wa Serikali Mtumba Bwana Meshack Bandawe amekutana na wakurugenzi wa utawala na rasilimali watu wa Wizara zote ili kujadili maandalizi na utekelezaji wa ujenzi wa ofisi za ghorofa za Wizara zitakazojengwa awamu ya pili katika …
Soma zaidi »SERIKALI YATOA AJIRA ZA WALIMU 6,949
Na Adili Mhina. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu ametangaza nafasi za ajira za walimu 6,949 wa Shule za Msingi na Sekondari zinazolenga kujaza nafasi wazi za watumishi waliokoma utumishi wao kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo vifo, kuacha kazi, kufukuzwa …
Soma zaidi »