ADA TADEA KUSIMAMISHA WAGOMBEA UDIWANI NA UBUNGE, NAFASI YA RAIS KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Mkoa wa Songea, Alli Sadiki Mapunda, ametangaza kuwa chama chao kipo tayari kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amesema kuwa ADA TADEA itasimamisha wagombea katika nafasi zote za udiwani na ubunge, …
Soma zaidi »🔴#LIVE: WAZIRI MKUU AMPONGEZA MHE. RAIS SAMIA KWA UZINDUZI WA TOLEO JIPYA LA SHERIA NA KUIMARISHA HAKI
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »🔴#LIVE: MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA TOLEO LA SHERIA ZILIZOFANYIWA UREKEBU LA MWAKA 2023
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »🔴#LIVE: MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA TOLEO LA SHERIA ZILIZOFANYIWA UREKEBU LA MWAKA 2023
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »JE, UNAFAHAMU JINSI BWAWA LA UMEME LA MWALIMU NYERERE LINAVYOBADILISHA MAISHA YA WATANZANIA
Karibu katika video hii maalum inayochambua kwa kina mradi mkubwa wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP), mradi wa kihistoria unaotarajiwa kuzalisha megawati 2,115 za umeme. Mradi huu unalenga kuongeza uwezo wa uzalishaji wa umeme nchini kutoka megawati 1,900 hadi zaidi ya 4,000, hatua itakayosaidia kukabiliana na mgao …
Soma zaidi »KIPINDI CHA UCHAGUZI NI KIPINDI CHA KUWAELEKEZA WATU…! RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisisitiza umuhimu wa kutoa elimu kwa wananchi kuhusu masuala ya uchaguzi, demokrasia, na maamuzi sahihi ya kuijenga nchi. Katika ujumbe huu wa kihistoria, Rais Samia anawakumbusha viongozi wa kisiasa, taasisi, na wananchi kwa ujumla kuwa kipindi cha uchaguzi …
Soma zaidi »#uchaguzi2025 Maandalizi ya Amani yatazaa matunda ya Amani
Amani ni nguzo kuu katika uchaguzi mkuu wa 2025 nchini Tanzania. Bila amani, hakuna uchaguzi huru, haki, wala maendeleo ya demokrasia. Amani hutuliza jamii, huimarisha mshikamano, na kuruhusu wananchi kushiriki uchaguzi kwa utulivu, uhuru na matumaini ya kesho bora. #amaniNaUtulivu
Soma zaidi »SERIKALI YAJIPANGA KUHAKIKISHA MAJI KWA WOTE. – DK. NDUMBARO AIKAGUA BIHARAMULO
Waziri Dk. Damas Ndumbaro Akagua Mradi Mkubwa wa Maji Biharamulo – Dhamira ya Serikali Kuwafikia Watanzania kwa Vitendo
Soma zaidi »WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AKAGUA KAMPASI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM MKOANI KAGERA
Katika tukio la kihistoria mkoani Kagera, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, ameongoza uzinduzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hatua muhimu ya kupeleka elimu ya juu karibu zaidi na wananchi wa Kanda ya Ziwa. Tukio hili limechukua sura ya kipekee baada ya wananchi …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+