RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

KAMPENI YA “NO REFORMS NO ELECTION” INAMPANGO WA KUIPENDELEA TEAM – ELISHA ASA MWAMBENE

Elisha Asa Mwambene, Katibu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mtaa wa Msasani, Tunduma, Mkoa wa Songwe, ameibua mjadala mzito kuhusu kampeni ya “No Reforms No Election” inayoendeshwa na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Tundu Lissu. Kupitia mahojiano na wanahabari, Elisha amesema vijana wengi Tunduma wameshindwa kuelewa lengo hasa …

Soma zaidi »