RAIS DKT. MAGUFULI

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI BAADA YA KUFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO–BUSISI)

Mwanza, 19 Juni 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezungumza na wananchi katika viwanja vya Chuo cha Ufundi Kalwande, jijini Mwanza, mara baada ya kuzindua rasmi Daraja la JP Magufuli (Kigongo–Busisi) lenye urefu wa kilomita 3.0. Katika hotuba yake, Rais Samia amepongeza …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA ASISITIZA MAENDELEO SHIRIKISHI BUSIGA – ASHIRIKISHA WANANCHI KATIKA UTEKELEZAJI WA KATIBA

Katika hotuba yake kwa Wananchi wa Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu tarehe 19 Juni 2025, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alitekeleza moja ya wajibu wake wa kikatiba chini ya Ibara ya 33(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI – HISTORIA YANDIKWA UPYA ZIWA VICTORIA

Tarehe 19 Juni 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alifungua rasmi Daraja la JP Magufuli (Kigongo–Busisi) lenye urefu wa kilomita 3.0, pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 1.66 katika mkoa wa Mwanza. Hii ni hatua ya kihistoria na ya kimkakati katika …

Soma zaidi »

MAOMBI NA NDOTO ZA MAGUFULI ZATIMIA

Mkoani Mwanza – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo anazindua rasmi Daraja la Kigongo–Busisi, mradi mkubwa uliokuwa ndoto ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Daraja hilo, ambalo ujenzi wake ulianza rasmi chini ya utawala wa Magufuli, limekamilika kikamilifu chini ya uongozi wa Rais …

Soma zaidi »

MAMA SAMIA NA DARAJA LA BUSISI

Mama yetu, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameandika historia nyingine kwa kukamilisha na uzinduzi wake rasmi leo ambapo Daraja la Busisi moja ya miundombinu mikubwa na ya kihistoria nchini Tanzania. Daraja hili linaunganisha mikoa ya Mwanza na Geita kupitia Ziwa Victoria, likiwa na urefu wa zaidi ya kilomita 3.2, na …

Soma zaidi »

4R’s za Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4R’s za Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ni muongozo wa jinsi siasa za taifa hili zinapaswa kufanywa. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani Mkutano wa Baraza la vyama vya Siasa 03/01/2024 pic.twitter.com/Cazsh938mA— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 3, 2024

Soma zaidi »

MAMA JANETH MAGUFULI AHUDHURIA MISA MAALUM YA KUMUENZI DKT JOHN MAGUFULI KANISA KATOLIKI LA KAWEKAMO JIJINI MWANZA

Mama Janeth Magufuli, mjane wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, akiwasili katika kanisa la Kawekamo jijini Mwanza kuhudhuria Misa Maalumu ya kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha marehemu mumewe leo Jumapili Machi 2022. Pamoja naye ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI ATAKA KISWAHILI KUTUMIKA MAHAKAMANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Viongozi mbalimbali, Wafanyakazi wa Mahakama, Majaji pamoja na wananchi wa mkoa wa Dodoma katika kilele cha maadhimisho ya siku ya sheria nchini na miaka 100 ya Mahakama Kuu yaliyofanyika katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma leo …

Soma zaidi »

RAIS DKT MAGUFULI AMPOKEA MGENI WAKE RAIS WA ETHIOPIA SAHLE-WORK ZEWDE ALIYEWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MOJA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Ethiopia Mhe. Sahle-Work Zewde mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Geita mjini Chato leo Jumatatu Januari 25, 2021kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Rais wa Jamhuri ya Muungano …

Soma zaidi »