Matokeo ChanyA+

Takriban TZS 767.84 bilioni zilitengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo, ongezeko la asilimia 34.7 kutoka bajeti ya mwaka uliopita. Fedha hizi zinalenga kuboresha miundombinu na kuongeza usalama wa chakula kwa taifa​.

#NaHayaNdiyoMatokeoChanyA+ #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #Kilimo

Soma zaidi »

Mwaka 2023, Tanzania ilifikia uzalishaji wa tani milioni 20.4 za chakula, kutoka tani milioni 17.1 mwaka 2022, hivyo kusaidia kupunguza uhaba wa chakula na kuongeza akiba ya kitaifa

#NaHayaNdiyoMatokeoChanyA+ #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #Kilimo

Soma zaidi »

Katika mwaka wa fedha wa 2023/2024, bajeti ya Wizara ya Kilimo iliongezeka hadi TZS 970.79 bilioni, ikiwa na ongezeko la asilimia 29.24 ikilinganishwa na mwaka uliopita. Ongezeko hili linaashiria juhudi za serikali kuimarisha sekta ya kilimo na kuongeza uzalishaji​

#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #Kilimo

Soma zaidi »

Tanzania na Afrika Kusini Zaahidi Kuimarisha Ushirikiano Katika Sayansi, Teknolojia na Ubunifu

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia wa Tanzania, Prof. Adolf Mkenda, amekutana na Waziri wa Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia na Ubunifu wa Afrika Kusini, Mhe. Dkt. Blade Nzimande, ambapo wamejadili kwa kina njia za kuimarisha uhusiano kati ya nchi zao katika nyanja za sayansi, teknolojia na ubunifu. Waziri Mkenda …

Soma zaidi »

Tanzania na Urusi Zaimarisha Ushirikiano wa Biashara na Uchumi Kupitia Tume ya Pamoja

Mkutano wa kwanza wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano wa Biashara na Uchumi kati ya Tanzania na Urusi, uliofanyika jijini Dar es Salaam, umehitimishwa kwa mafanikio kwa kusainiwa kwa vipengele mbalimbali vya makubaliano ya kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi baina ya nchi hizo mbili.  Mkutano huo wa siku mbili ulijumuisha …

Soma zaidi »

Tanzania na Urusi zasaini vipengele vya mfumo wa makubaliano ya kuimarisha ushirikiano wa Biashara na Uchumi wakihitimisha Mkutano wa kwanza wa tume ya pamoja ya Ushirikiano wa Biashara na Uchumi baina ya nchi zao, Jana jijini Dar es Salaam

Mkutano huo wa siku mbili umehusisha; Mkutano wa Wataalamu, Mkutano wa Tume ya pamoja na Kongamano la Uwekezaji, kabla ya kuhitimishwa kwa ngazi ya juu ya Waheshimiwa Mawaziri kutia saini makubaliano hayo. Katikatika taarifa yao waliyoitoa kwa pamoja mara baada ya kutia saini makubaliano hayo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya …

Soma zaidi »

Katika mwaka wa fedha wa 2023/2024, Wizara ya Kilimo nchini Tanzania ilipokea ongezeko la bajeti hadi kufikia TZS 970.79 bilioni. Hii inawakilisha ongezeko la asilimia 29.24 ikilinganishwa na mwaka uliopita, ambapo bajeti ya wizara ilikuwa takribani TZS 751.12 bilioni

Ongezeko hili la bajeti linaashiria azma ya serikali ya kuimarisha sekta ya kilimo kwa kutumia zaidi kwenye miradi ya maendeleo kama vile miundombinu ya umwagiliaji, utafiti wa kilimo, na upatikanaji wa masoko. Aidha, sehemu kubwa ya fedha hizi (TZS 767.84 bilioni) imetengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo, ambayo inahusisha …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wenza wa Wakuu wa nchi mbalimbali Barani Afrika mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa 11 wa Merck Foundation Africa Asia Luminary uliofanyika katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam

Aidha, Rais Dkt. Samia ametoa wito kwa Wenza hao viongozi kutumia ushawishi walionao kuunga mkono ajenda ya matumizi ya Nishati Safi ya kupikia katika nchi zao.

Soma zaidi »

MATOKEO DARASA LA SABA 2024

Jumla ya watahiniwa 974,229 Sawa na 80.87%, watahiniwa wenye matokeo wamefaulu na kumaliza Elimu ya Msingi 2024. Hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa 0.29%,. Kati ya watahiniwa hao wavulana ni 449,057 Sawa na 46% na wasichana ni 525,172 Sawa na 54% Hivyo ufaulu wa wasichana umeshuka kwa 0.53% na ufaulu …

Soma zaidi »