Katika hotuba hii, Rais Samia amezungumzia kwa kina mchango wa marehemu kwa taifa, umuhimu wa uzalendo, mshikamano wa kitaifa, na wito kwa Watanzania wote kutanguliza maslahi ya taifa mbele ya maslahi binafsi.
Hotuba hii ni ya kihistoria, yenye mafunzo muhimu kwa viongozi na wananchi kwa ujumla, hasa katika kulinda amani, umoja na misingi ya taifa letu.
▶️ Tazama hadi mwisho upate ujumbe kamili
👍 Usisahau kupenda video
💬 Toa maoni yako
🔔 Jiunge na channel kwa habari na hotuba muhimu za kitaifa #RaisSamia #HotubaYaRais #Maombolezo #JenistaMhagama #MaslahiYaTaifa #Uzalendo #tanzania
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+