Makubaliano hayo yamefikiwa katika kikao kilichofanyika Oktoba 7 hadi 8, 2025 ambapo wajumbe wa Bodi na wataalamu kutoka taasisi hizo walikutana kubadilishana uzoefu kuhusu utekelezaji wa majukumu yao.



Makubaliano hayo yamefikiwa katika kikao kilichofanyika Oktoba 7 hadi 8, 2025 ambapo wajumbe wa Bodi na wataalamu kutoka taasisi hizo walikutana kubadilishana uzoefu kuhusu utekelezaji wa majukumu yao.


