UTAMADUNI NDIO UNABAKI KUWA UTAMBULISHO WETU – MHE RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Kauli ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inasisitiza thamani ya urithi wetu wa kiutamaduni kama uti wa mgongo wa taifa. Katika hotuba hii ya kihistoria, Rais anaangazia namna mila, desturi na sanaa zetu zinavyobeba hadhi, heshima na historia ya Watanzania.

Tazama video hii kujionea msisitizo wa Serikali ya Awamu ya Sita katika kulinda, kuenzi na kuendeleza utamaduni wa Taifa—kutoka mavazi, lugha, muziki, vyakula hadi maadili.

🟢 Jiunge nasi kuenzi utamaduni wa Kitanzania.

🔔 Usisahau kusubscribe, kupenda na kushiriki video hii!

#UtamaduniWetu #RaisSamia #TamaduniZaTanzania #UtambulishoWaTaifa #TanzaniaYetu

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *