“UKIMYA WANGU SIO UJINGA, SITAKUWA NA MUHALI KWA YEYOTE ANAYETAKA KUVURUGA AMANI YETU”

“Hatutaruhusu mtu yeyote kuchafua mazingira ya amani na utulivu ambayo yamejengwa kwa miaka mingi. Tutalinda nchi yetu kwa nguvu zote na kuhakikisha kuwa Katiba ya Tanzania inaheshimiwa na kufuatwa na kila mmoja,”

‪@samiasuluhu99‬

Rais Wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *