Rais Samia Suluhu Hassan @SuluhuSamia alikutana na Rais Xi Jinping huko Beijing. Rais Xi alieleza utayari wa China kuimarisha zaidi uhusiano na Tanzania ili kutoa mfano bora wa mahusiano kati ya China na Afrika na ushirikiano kati ya mataifa ya Kusini mwa Dunia.


Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+