Kituo cha Afya Msomera Chatoa Huduma Kamili za Matibabu na Afya kwa Jamii

Dr. Lyidia Bulinga Mganga Mfawidhi Kituo cha Afya Msomera, kituo hiki kinatoa huduma za Matibabu kwa wagonjwa wa nje OPD, huduma za Uzazi na afya ya Mtoto RCH, huduma ya Mama na Mtoto, huduma za CTC kwa wagonjwa wenye maambukizi ya VVU na Huduma za Maabara vipimo vyote.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *