WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kali dhidi ya muuguzi mmoja mkoani Tabora anayedaiwa kufanya upasuaji wa mgonjwa nyumbani kwake kinyume na maadili ya taaluma ya afya. Akizungumza leo Machi 4, 2026 alipokuwa akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Machinga jijini Dodoma baada ya kusimamishwa na …
Soma zaidi »Maktaba ya Mwezi: March 2026
FENTANYL DAWA HATARI ZAIDI DUNIANI ZAKAMATWA TANZANIA
Fentanyl ni dawa ya maumivu yenye nguvu sana. Hutumika hospitalini kutuliza maumivu makali, hasa baada ya upasuaji au kwa wagonjwa wa saratani. Ni dawa ya kundi la opioids, sawa na morphine lakini ina nguvu zaidi mara 50 hadi 100 kuliko morphine. Fentanyl ni nini hasa? Ni dawa ya kitabibu inayotolewa …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+