Maktaba ya Kila Siku: March 5, 2026

WAZIRI MKUU DKT MWIGULU AMESEMA ATASIMAMIA MAELEKEZO YA KATIBA YA TANZANIA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kali dhidi ya muuguzi mmoja mkoani Tabora anayedaiwa kufanya upasuaji wa mgonjwa nyumbani kwake kinyume na maadili ya taaluma ya afya. Akizungumza leo Machi 4, 2026 alipokuwa akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Machinga jijini Dodoma baada ya kusimamishwa na …

Soma zaidi »