Amesema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati akitoa Tamko la Serikali kuhusu Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani ambapo kwa mwaka 2025 yamefanyika chini ya kaulimbiu: “Imarisha Mwitikio, Tokomeza UKIMWI”. Waziri Lukuvi amesema upatikanaji wa dawa hizo umeendelea kuimarika, huku idadi ya WAVIU wanaotumia Dawa za ARV ikiongezeka kutoka …
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: December 2, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kabla ya kuzungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Desemba, 2025.
RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA TUME HURU YA UCHUNGUZI WA MATUKIO YA UCHAGUZI MKUU, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Tume Huru ya Kufanya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjiifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 20 Novemba, 2025. 📌 Usikose kufuatilia hotuba na matukio yote muhimu hapa …
Soma zaidi »WANAKEREKA NA TAMBO ZETU, LAKINI NI KWELI TANZANIA INA UMOJA, UPENDO NA AMANI.
#SisiNiTanzania #Tanzania #AmaniKwanza #UmojaNaAmani #TanzaniaMoja #PeaceForTanzania
Soma zaidi »DAMU YA WATANZANIA NI YETU SOTE
Sote ni wamoja, Majonzi ya mmoja ni ya wote. Tanzania moja, haki na umoja. Tuwe watulivu, tuendelee kujenga nchi yetu kwa amani na upendo.” #SisiNiTanzania #Tanzania #TanzaniaYetu #AmaniKwanza #UmojaNaAmani #KijanaWaKitanzania #MabadilikoChanya #TanzaniaMoja #KaziIendelee #PatriotismTZ
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+