Maktaba ya Kila Siku: October 14, 2025

Happy Nyerere Day, Watanzania!

Leo tunamkumbuka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — mtu aliyeweka msingi wa umoja, utu na maendeleo kwa taifa letu. Fikra zake bado zinatupa dira ya kujenga Tanzania yenye haki, usawa na heshima kwa kila mmoja. Ni siku ya kutafakari, kujifunza, na kuendeleza maono yake kwa vitendo — katika …

Soma zaidi »