Leo tarehe 30/10/2018 tumeanza kutumia chumba Kipya cha upasuaji kwaajili ya watoto wenye vichwa vikubwa na Mgongo wazi , idadi ya vyumba vya upasuaji MOI inaongezeka na kufikia 9. Idadi ya watoto wanaofanyiwa upasuaji inatarajiwa kuongezeka kutoka 6-8 hadi 20-25 kwa wiki.

TAASISI YA MIFUPA (MOI) IMEANZA KUTUMIA CHUMBA KIPYA CHA UPASUAJI

TAASISI YA MIFUPA MOI
Tarehe 30/10/2018 Taasisi ya Mifupa (MOI) imeanza  kutumia chumba Kipya cha upasuaji kwaajili ya watoto wenye vichwa vikubwa na Mgongo wazi , idadi ya vyumba vya upasuaji MOI imeongezeka na kufikia 9. Huku idadi ya watoto wanaofanyiwa upasuaji inatarajiwa kuongezeka kutoka sita mpaka nane hadi kufikia 20-25 kwa wiki.

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA AZUNGUMZA MARA BAADA YA KUAPISHA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI

Leo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa hotuba muhimu …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *