Ujumbe wa wafanya biashara pamoja na baadhi ya viongozi wa makampuni ya mashirika ya serikali kutoka Tanzania ikiongozwa na mkuu wa msafara Balozi Abdulsamad Abdulrahim ambae pia ni Mwenyekiti wa Jumuia ya Mafuta na Gesi nchini, na Makamu wa Rais na watendaji wakuu wa kampuni ya mafuta na gesi ya …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
July, 2019
June, 2019
-
18 June
SERIKALI YAOKOA MABILIONI UENDESHAJI MASHAURI YA MADAI
Serikali imesema mabadiliko kwenye sekta ya sheria nchini hususani Ofisi ya Mwanasheria Mkuu yameanza kuleta tija baada ya kuongeza ufanisi na kuokoa fedha ambazo hapo awali zilikuwa zikitumika kuwalipa mawakili binafsi. Akijibu swali la Mbunge wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kuebenea ambae alitaka kujua kiasi cha fedha ambacho serikali imeokoa tangu …
Soma zaidi » -
17 June
NMB KULIPA GAWIO LA SH. BILIONI 33
Benki ya NMB Plc. (NMB), kulipa gawio la Shilingi 66 kwa kila Hisa. Wanahisa wa Benki ya NMB wameidhinisha kiasi kilichopendekezwa wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM), uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Ikiwa ni matokeo ya utendaji bora na uimara wa nafasi ya mitaji, malipo ya …
Soma zaidi » -
3 June
UJENZI WA BARABARA NJIA SITA KUANZIA KIMARA WAFIKIA ASILIMIA 28
Serikali haijasitisha ujenzi wa barabara ya njia sita kutoka Dar – Chalinze bali ujenzi huo unaendelea kwa awamu na kwasasa ujenzi huo umefikia asilimia 28 kwa awamu ya kutoka Kimara mpaka Kibaha na mkandarasi anaendelea yupo eneo la kazi na analipwa vizuri. Hayo yamesemwa bungeni na Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi …
Soma zaidi »
May, 2019
-
25 May
LIVE: RAIS WA AFRIKA YA KUSINI AKIAPISHWA
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, MHeshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli yupo kuhudhuria kiapo hicho. Rais wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete naye amehudhuria.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+