Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa bodi ya KADCO uhakikishe unaweka mabango ya kielektroniki yenye kuonesha vivutio vya utalii kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). “KADCO na Wizara ya Maliasili na Utalii, shirikianeni kuweka utaratibu wa kutangaza vivutio vyetu vya utalii hasa wanyama kwenye viwanja vyote vya ndege. …
Soma zaidi »Recent Posts
LIVE:RAIS MAGUFULI AMEFUNGUA KIWANDA CHA KUONGEZA THAMANI YA TUNDA LA PARACHICHI
LIVE CATCH UP: RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA UYOLE
WAZIRI MKUU AWAAGA WATALII 1,000 KUTOKA ISRAEL
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watalii kutoka Israel wakawe mabalozi wazuri wa kuitangaza Tanzania pindi wakirudi huko kwao. Ametoa wito huo leo mchana (Jumamosi, Aprili 27, 2019) kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA) wakati akiwaaga watalii 274 walioondoka nchini leo mchana kurejea kwao. Watalii hao ni miongoni mwa watalii …
Soma zaidi »LIVE:RAIS MAGUFULI KATIKA IBADA YA KUMSIMIKA ASKOFU MTEULE GERVAS NYAISONGA KUWA ASKOFU MKUU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli pamoja na Mkewe Janeth Magufuli washiriki Ibada ya Kumsimika Askofu Mteule Gervace John Nyaisonga kuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya .Ibada inafanyika katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Soma zaidi »RAIS MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA MBEYA – LWANJILO – CHUNYA
LIVE: RAIS AKIZIZUNGUMZA NA WANANCHI VIWANJA VYA SABASABA WILAYANI CHUNYA MKOANI MBEYA
LIVE CATCH UP:RAIS MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI JIJINI MBEYA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli azungumza na Wananchi wa Isanga, Mwansekwa,Lwanjiro na Chalangwa. Aidha azindua barabara ya Mbeya – Chunya kuweka Jiwe la Ujenzi wa Barabara ya Chunya –
Soma zaidi »RAIS MAGUFULI AZINDUA JENGO LA NHIF TOWER MKOANI MBEYA
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa kazi kubwa inayofanya. Hayo ameyasema kwenye mkutano wa hadhara mkoani Mbeya kwenye viwanja vya Ruanda Nzove wakati akizungumza na wananchi muda mfupi baada ya kuzindua jengo la NHIF Tower …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+




