Recent Posts

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI MKUTANO WA TICAD

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Tanzania inahitaji kuwa na tekinolojia mpya na ya uhakika ili kufanikisha mkakati wa Seikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli wa kukuza uchumi na kufikia wa kati ifikapo 2015 kupitia sekta ya viwanda. Ameyasema hayo leo (Jumatano, Agosti 28, 2019) katika …

Soma zaidi »

NAIBU WAZIRI MGALU AWASHA UMEME DUNDUMWA KILOSA

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amewasha umeme katika kitongoji cha Dundumwa, Kijiji cha Ludewa Batini, wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo lilifanyika Agosti 27 mwaka huu, akiwa katika ziara ya kazi mkoani humo kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme pamoja na kuzungumza na wananchi. Akiwa amefuatana na …

Soma zaidi »

LIVE: AFRICAN LEADERSHIP FORUM, IKULU JIJINI DSM

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete wahudhuria Mkutano wa African Leadership Forum Ikulu Jijini Dar Es Salaam. Mkutano huo pia unaudhuriwa na Marais wastaafu kutoka Nigeria,South Africa na Somalia.  

Soma zaidi »