Recent Posts

DCEA NA ITV WAWEKA MIKAKATI YA USHIRIKIANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA

Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amefanya ziara maalum katika ofisi za ITV zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam. Ziara hiyo ililenga kuimarisha ushirikiano kati ya Mamlaka na kituo hicho cha habari katika juhudi za kuhabarisha na kuelimisha umma juu ya …

Soma zaidi »

MIAKA 10 YA MAGEUZI NA MAFANIKIO MAKUBWA YA KILIMO TANZANIA

Kwa miaka kumi, Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imekuwa nguzo ya mageuzi makubwa katika sekta ya kilimo. Kupitia mikopo nafuu, uwezeshaji wa teknolojia za kisasa na ufadhili wa miradi ya kimkakati, TADB imewafikia mamilioni ya wakulima, kuongeza tija, kuboresha usalama wa chakula, na kuchochea uchumi wa taifa. Tazama …

Soma zaidi »

MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Begi lenye Fomu zake za kugombea nafasi hiyo mara baada ya kukabidhiwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Dodoma.

Soma zaidi »