Na Munir Shemweta, GEITA Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amezindua Mpango Kabambe wa Mji wa Geita 2017-2037 na kuitaka halmashauri ya mji huo kuhakikisha inasimamia utekelezaji wa mpango huo bila kuruka hatu za utekelezaji. Alisema, mkoa wa Geita umebahatika kuwa na shughuli nyingi …
Soma zaidi »NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA WATENDAJI SEKTA YA ARDHI KUHAMASISHA URASIMISHAJI
Sehemu ya Watendaji wa sekta ya ardhi na wawakilishi wa Kampuni za Upangaji na Upimaji wakiwa katika kikao kilichofanyika Chuo cha Mipango jijini Dodoma jana. Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka watendaji wa sekta ya ardhi nchini kutumia njia mbalimbali katika kuhamasisha zoezi …
Soma zaidi »KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA CHAONGEZA UFANISI UTENDAJI KAZI ARDHI
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeboresha kituo chake cha Huduma kwa Wateja kwa lengo la kuwarahisishia wananchi kupata huduma za sekta ya ardhi kwa haraka na kwa ufanisi. Kwa sasa kituo hicho kinahudumia idadi kubwa ya wateja wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani tofauti na …
Soma zaidi »WAZIRI LUKUVI AMALIZA UTATA MGOGORO WA ARDHI KIJITONYAMA
Na Munir Shemweta, WANMM Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amemaliza utata uliojitokeza mtaa wa Nzasa kata ya Kijitonyama katika Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam baina ya baadhi ya wakazi wa mtaa huo na mmiliki wa viwanja namba 296 na 297 Dkt Khalifa Mussa Msami …
Soma zaidi »WAZIRI LUKUVI AMALIZA MGOGORO SUGU WA ARDHI WAZO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amehitimisha mgogoro wa muda mrefu baina ya wananchi wa eneo la Chasimba, Chatembo na Chachui katika kata ya Bunju na Wazo Manispaa ya Kinondoni na Kiwanda cha Saruji cha Tanzania Portland (Wazo Hill) ambapo kiwanda hicho kimekubali kuachia hekta 224.8 …
Soma zaidi »WAZIRI LUKUVI AAGIZA KUCHUKULIWA HATUA WALIOKWAMISHA ZOEZI LA URASIMISHAJI KIVULE
Na Munir Shemweta, WANMM Waziri Lukuvi ameagiza kuchukuliwa hatua na kuchunguzwa watendaji wote wa chuo cha ardhi Morogoro (ARIMO) waliohusika kuchelewesha urasimishaji makazi katika kata ya Kivule Dar Es Salaam. Aidha, Waziri Lukuvi aligiaza pia Makamishna wote wa ardhi katika ofisi za ardhi za mikoa kumpatia majina na kampuni zilizoshindwa kutekeleza …
Soma zaidi »SERIKALI YAJA NA MPANGO WA KUTAMBUA KILA KIPANDE CHA ARDHI NA KUTOA LESENI ZA MAKAZI KWA HARAKA
Na. Hassan Mabuye, Mwanza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza kutekeleza mradi wa utambuzi wa kila kipande cha ardhi kwa ajili ya kupanga, kupima na kumilikisha vipande vya ardhi kwa kutoa leseni za makazi ndani ya siku 14. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi huo wa utambuzi …
Soma zaidi »WAZIRI LUKUVI ATANGAZA UHAKIKI KUBAINI WAMILIKI HEWA WA ARDHI NCHI NZIMA
Na Munir Shemweta, ILEMELA Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema Wizara ya Ardhi kuanzia tarehe 1 Julai 2021 itaanza zoezi la uhakiki la kitaifa kuwatambua na kuwaondoa wamiliki wote hewa wa viwanja nchini. Lukuvi alisema hayo kwa nyakati tofauti tarehe 4 Machi 2021 katika ofisi …
Soma zaidi »WAZIRI LUKUVI AAMURU KUFUTWA HATI YA ARDHI NA KUSHUSHA NEEMA KWA WAKAZI WA MHANDU NYAMAGANA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi ameshusha neema kwa wakazi wa kata ya Mhandu katika halmashauri ya manispaa ya Nyamagana mkoa wa Mwanza kwa kuamuru kuondolewa katika daftari Hati ya kitalu Na 153 eneo hilo na kupatiwa wananchi 74 waliokuwa katika mgogoro. Akitoa uamuzi huo tarehe …
Soma zaidi »WAZIRI LUKUVI AAGIZA MAENEO YA MRADI WA KIMKAKATI KUPANGWA
Na Munir Shemweta, Misungwi Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi ameitaka halmashauri ya wilaya ya Misungwi mkoa wa Mwanza kuhakikisha inapanga na kupima maeneo yanayopitiwa na miradi ya kimkakati ya treni ya Mwendokasi (SGR) na Kivuko cha Kigongo katika halmashauri hiyo mkoani Mwanza. Akizungumza wakati wa …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+