Tanzania

MWANAMKE MMILIKI WA KAMPUNI YA WATALII ALIVYOFAIDIKA NA ROYAL TOUR YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU

Msaada wa serikali katika kutangaza Tanzania kama kivutio bora cha utalii umeongeza kasi ya maendeleo kwa wajasiriamali kama mimi. Leo hii nina wateja wa kudumu kutoka Marekani na Ufaransa, jambo ambalo halikuwa rahisi hapo awali, #HakiKwaWote ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟโš–๏ธ #SamiaLegalAid #TanzaniaYaHaki #mslac #sisinitanzania #katibanasheria #matokeochanya #ccm #nchiyangukwanza #kaziiendelee #hakikwawote #habari

Soma zaidi »

“TUMEUMBWA TUSAIDIANE, KWAHIYO TUNAKWENDA KUSAIDIANA” – MHE RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Ni maneno yenye uzito mkubwa kutoka kwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, yakisisitiza mshikamano, upendo, na mshikamano wa Watanzania katika kujenga taifa imara. Katika hotuba hii, Rais Samia anahimiza umuhimu wa kusaidiana kama jamii, kushirikiana katika maendeleo, na kuwa na moyo wa upendo kwa kila mmoja. Serikali ya Awamu …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF) Bi. Catherine Russell

Katika mazungumzo yao, Rais Dkt. Samia ameishukuru UNICEF kwa mchango wake katika masuala mbalimbali ikiwemo afya, elimu na lishe kwa watoto pamoja na afya ya msingi. Ikulu Chamwino mkoani Dodoma

Soma zaidi »

MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MKUTANO MKUU WA 39 WA ALAT- DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma, leo tarehe 11 Machi, 2025. Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya

Soma zaidi »

MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MKUTANO MKUU WA 39 WA ALAT- DODOMA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma, leo tarehe 11 Machi, 2025. Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya

Soma zaidi »

HATUA ZA UJENZI WA MRADI WA MAJI WA SAME-MWANGA-KOROGWE ULIOZINDULIWA NA RAIS DKT. SAMIA SULUHU

Mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe ni juhudi kubwa ya kuboresha upatikanaji wa maji safi kwa wakazi wa mikoa ya Kilimanjaro na Tanga. Mradi huu unahusisha ujenzi wa sehemu ya kuchuja maji inayohakikisha uchafu na chembechembe hatarishi zinaondolewa kabla ya kusambazwa kwa matumizi. Pia, kuna sehemu ya kusukuma maji kwa kutumia …

Soma zaidi »

“TUTANYOOSHANA POLEPOLE MPAKA WOTE TUTASIMAMA” MHE: RAIS DKT. SAMIA

Katika hotuba hii yenye ujumbe mzito, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anazungumzia uwajibikaji, uadilifu, na juhudi za kuhakikisha kila Mtanzania anasimama imara kwa maendeleo ya taifa! ๐Ÿš€๐Ÿ’ช โœ… Uwazi na uwajibikaji katika uongozi โœ… Kusimamia haki na maendeleo kwa wote โœ… Kuimarisha nidhamu …

Soma zaidi »