Tanzania

WAZIRI MKUU: SERIKALI IMEIMARISHA NGUVUKAZI SEKTA YA AFYA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imeimarisha nguvukazi kwenye sekta ya afya kwa kuongeza taasisi zinazotoa mafunzo ya afya na upatikanaji wa fursa za elimu ya juu kwa kada hiyo. “Serikali imefanya upanuzi wa taasisi za mafunzo ya afya ili kuongeza idadi ya wahitimu. Taasisi hizo ni pamoja na vyuo …

Soma zaidi »

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya 3, hayati Benjamin William Mkapa katika Kijiji cha Lupaso mkoani Mtwara, Julai 28, 2024, kuhani familia na kuzungumza na wananchi wa Lupaso.

Balozi Nchimbi amesema “naomba nikiri kuwa mimi ni mwanafunzi wa hayati na nimekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Taifa (UVCCM), katika kipindi chake. Ndiye alinilipia ada ya kusoma chuo kikuu na alikuwa mfuatiliaji sana na alitulea vizuri. Sio sisi tu, bali Watanzania wote aliwalea pia. Alikuwa mzalendo kwa nchi, alifanya …

Soma zaidi »

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Wolfgang Pisa

Mhashamu Wolfgang Pisa pia ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi, alipowasili wilayani Ruangwa kwa ajili ya Harambee ya Ujenzi wa Kanisa na maandalizi ya Jubilei ya miaka 25 ya Upadre wa Mhashamu Askofu Wolfgang na miaka 50 ya Upadre wa Mhashamu Askofu Bruno Ngonyani, ambaye ni Aksofu Mstaafu wa …

Soma zaidi »

AMIRI JESHI MKUU WAKATI WOWOTE ULE ANAWEZA AKATENGENEZA TIMU YAKE ILI KUWALETEA USHINDI WATANZANIA

Amiri Jeshi Mkuu, katika nafasi yoyote ile, ana uwezo wa kutengeneza timu imara inayoweza kuwaletea ushindi wananchi wake. Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania, ameonyesha mfano bora wa jinsi ya kufanya hivyo Rais Samia amekuwa akiteua viongozi wenye sifa, uzoefu, na maadili mema katika nyadhifa mbalimbali …

Soma zaidi »

Malezi bora ni msingi muhimu kwa taifa imara, na Katiba ya Tanzania inaweka misingi ya kuhakikisha watoto wanapata haki zao za msingi. Kifungu cha 11 cha Katiba kinatamka kuwa kila mtu ana haki ya kupata elimu. Kwa hivyo, kuhakikisha watoto wanapata elimu bora ni kutimiza hitaji la kikatiba.

Aidha, Katiba inasisitiza maadili na uzalendo. Malezi bora yanajumuisha kuwafundisha watoto maadili mema, heshima, na upendo kwa taifa lao. Kwa kuwalea watoto katika mazingira yenye maadili mema na kuwapatia elimu bora, tunawaandaa kuwa raia wema na wenye uzalendo wa kweli. Hii inasaidia kujenga taifa lenye umoja, amani, na maendeleo. #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu …

Soma zaidi »