Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na maelfu ya wananchi katika kusherehekea Tamasha la Utamaduni la Bulabo la Kanda ya Ziwa, lililofanyika leo tarehe 21 Juni, 2025. Tamasha hili limekuwa jukwaa muhimu la kuenzi urithi wa kitamaduni, sanaa, ngoma, mavazi ya asili na …
Soma zaidi »TANZANIA YAITIKISA DUNIA KATIKA WIKI YA MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA – KAMISHNA ARETAS LYIMO
Mara baada ya kufungwa kwa mashindano mbalimbali yaliyoandaliwa katika kuadhimisha Wiki ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya Duniani, Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini Tanzania, Aretas Lyimo, amesema kuwa Tanzania imeonesha dhamira ya kweli kwa vitendo katika mapambano hayo kwa kushirikisha jamii, …
Soma zaidi »MICHEZO NI KINGA YA KUJIINGIZA KWENYE MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA, VIJANA TUSHIRIKI MICHEZO
Katika fainali ya mpira wa miguu iliyofanyika kwenye Viwanja vya Chuo Kikuu cha Mtakatifu John, timu ya Wagoloko FC iliibuka kidedea kwa kuifunga Mwaise FC mabao 2–0, mbele ya mamia ya mashabiki waliokuwa wakishangilia kwa hamasa kubwa. Kamishna Lyimo amesema tukio hilo limekuwa zaidi ya mchezo; limekuwa darasa la mshikamano, …
Soma zaidi »BAADA YA TAASISI YA DCEA KUANZISHWA WATUMIAJI WA DAWA ZA KULEVYA WAMEPUNGUA SANA, SIO KAMA KABLA
Wiki ya maadhimisho ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya imeambatana na matukio mbalimbali muhimu. Mnamo Jumatatu, 23 Juni 2025, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) itafanya ziara kwenye vyombo vya habari kuhamasisha jamii, huku Mhe. William Lukuvi akitoa taarifa rasmi Bungeni kuhusu …
Soma zaidi »TANZANIA KINARA WIKI YA MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA VIJANA WAPONGEZA USHIRIKI MAANDALIZI
Mara baada ya kufungwa kwa mashindano mbalimbali yaliyoandaliwa katika kuadhimisha Wiki ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya Duniani, Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini Tanzania, Aretas Lyimo, amesema kuwa Tanzania imeonesha dhamira ya kweli kwa vitendo katika mapambano hayo kwa kushirikisha jamii, …
Soma zaidi »MICHEZO YAVUTIA VIJANA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA
Baadhi ya wananchi walioshiriki kwenye michuano ya mpira wa miguu iliyokuwa ikiendelea jijini Dodoma, wameeleza kufurahishwa na hatua ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kutumia michezo kama jukwaa la kijamii kuhamasisha mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya, hasa kwa vijana. Michuano hiyo, iliyojumuisha …
Soma zaidi »Mechi ya Leo Jumapili, Tarehe 22/06/2025 Kuelekea Kilele Cha Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya
RAIS DKT. SAMIA ANATAMBUA MCHANGO WA BUNGE KWENYE KUHAMAISHA MICHEZO-MAJALIWA WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu Majaliwa amemuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika tamasha la Grand Bunge Bonanza lililofanyika katika viwanja vya shule ya Sekondari ya John Merlin jijini Dodoma.
Soma zaidi »RAIS SAMIA KUWA MGENI RASMI KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA – JUNI 26, 2025
Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya, yatakayofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma.
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI TAMASHA LA UTAMADUNI LA BULABO LA KANDA YA ZIWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na maelfu ya wananchi katika kusherehekea Tamasha la Utamaduni la Bulabo la Kanda ya Ziwa, lililofanyika leo tarehe 21 Juni, 2025. Tamasha hili limekuwa jukwaa muhimu la kuenzi urithi wa kitamaduni, sanaa, ngoma, mavazi ya asili na …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+