Tanzania MpyA+

WAZIRI MKUU – BENKI KUU SASA ITADHAMINI MIKOPO YA MTAJI YA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO KATIKA MABENKI!

“Leo nimepita eneo nimekuta Bank Kuu.. na wenyewe Benk ya Biashara NBC.. wananiambia, sisi tuko tayari kutoa mikopo kwa wajasiliamali (wa Madini); ili wanunue mitambo, wanunue vifaa vingine vya kusaidia kuchimba.. lakini pia na kuboresha.” – Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa. 30/09/2018, Geita “Benki Kuu wanasema, ni nyie tu (wachimbaji …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU: Mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge utakuwa wa gharama nafuu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Serikali ya awamu ya tano wa kujenga mradi wa kuzalisha umeme kwenye maporomoko ya mto Rufiji, Stiegler’s Gorge utasaidia sana kudhibiti uharibifu wa mazingira nchini. Akizungumza baada ya kutembelea eneo utakapojengwa mradi huo, Waziri Mkuu amesema umeme utakaotokana na maji, utazalishwa kwa gharama nafuu na …

Soma zaidi »

“WAZIRI TIZEBA ANAFANYA KAZI KUBWA”-WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mamia ya wakulima leo tarehe 3 Octoba 2018 katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro wakati akimuwakilisha Rais, John Pombe magufuli katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Mtandao wa wakulima Tanzania (MVIWATA), (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Mamia ya wakulima wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumzaleo …

Soma zaidi »

MZEE MWINYI: RAIS MAGUFULI MIMI NINA KUHUSUDU KWASABABU UNAFANYA MAMBO MAZURI KWA WANANCHI

Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi amesema kuwa aliomba kustaafu kuwa Mdhamini wa Skauti Tanzania ombi ambalo lilikataliwa na Rais Magufuli,na kusema kuwa bado vijana wana mambo mengi ya kujifunza kutoka kwake. Mzee Mwinyi amesema hayo wakati wa kumwapisha Bi. Mwantumu Mahiza kuwa Skauti Mkuu Tanzania …

Soma zaidi »

SERIKALI YANUNUA MASHINE ZA MIONZI ZENYE THAMANI YA BILIONI 1.74

Serikali kupitia Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto imenunua mashine za Mionzi (digital X-ray) zipatazo kumi zenye thamani ya shilingi bilioni 1.74. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu wakati akipokea mashine hizo kwenye Bohari ya Dawa(MSD)  jijini Dar. Waziri Ummy amesema kuwa Serikaki inaendelea kutoa kipaumbele katika …

Soma zaidi »