Uwekezaji wa Vizimba vya Samaki Jijini Mwanza – Fursa Kubwa ya Uchumi wa Maji
Ufugaji wa samaki kwa vizimba ni mfano halisi wa jinsi teknolojia na ubunifu vinavyoweza kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa Watanzania.
Soma zaidi »MAZINGIRA YETU. UHAI WETU, TUYATUNZE YATUTUNZE
NEMC imepokea ugeni wa Menejimenti ya Mamlaka ya Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Zanzibar (ZEMA) leo Oktoba 7, 2025
NEMC imefanya kikao Cha kujengeana uwezo ikiwa ni mwendelezo wa juhudi za kuimarisha ushirikiano katika kusimamia na kuhifadhi mazingira.
Soma zaidi »WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA NA NEMC
NEMC katika kuadhimisha wiki ya Huduma kwa Mteja yenye kaulimbiu “Mission Possible” imeweka banda maalum katika ofisi zake ili kurahisisha huduma kwa wateja ikiwa ni pamoja na kujenga mahusiano bora, wadau kutoa maoni, changamoto, na kupatiwa majibu kuhusu huduma za mazingira
Soma zaidi »UNAJUA KINACHO ENDELEA BONDE LA MOMBO? ZAIDI YA HEKTA 200 ZINALIMWA MPUNGA
Mikopo Nafuu Yaleta Mapinduzi ya Kilimo Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuonyesha dhamira ya dhati ya kuinua sekta ya kilimo nchini. Kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), wakulima wa Skimu ya Umwagiliaji Mombo wamepata fursa ya kupata mikopo …
Soma zaidi »MAMLAKA YA KUPAMBANA NA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA KUSAMEHE WATAKAO KIRI KUFANYA BIASHARA HIYO
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo, ametangaza msamaha kwa wote watakaojisalimisha na kukiri kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya, alipokuwa akiteketeza tani 4.402 za dawa za kulevya katika zoezi lililofanyika Oktoba 3, 2025, katika kiwanda cha saruji cha Twiga kilichopo Wazo, jijini …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+