Chuo Cha Maendeleo ya Wananchi Kigamboni (FDC-KIGAMBONI), kilichozinduliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2023, ni mradi muhimu wa maendeleo ya kijamii unaolenga kuinua maisha ya wananchi kwa kuwapatia elimu ya vitendo na ujuzi unaohitajika katika soko la ajira na shughuli za kiuchumi. Chuo hiki ni …
Soma zaidi »NEMC YATEKELEZA MAAGIZO YA WAZIRI MKUU, YATEMBELEA NA KUKAGUA ENEO LA VIWANDA MBAGALA
VIONGOZI WA DINI, JMAT KATA YA GOBA WAISHUKURU NEMC KUWAELIMISHA MADHARA YA KELELE ZILIZOZIDI VIWANGO
NEMC AND CSE PROVIDE AWARENESS ON SOLID WASTE RECYCLING TO DAR ES SALAAM MUNICIPALS AND NGO’s
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 23, 2024 ni mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Wiki Maadhimisho ya Wiki ya Sekta Binafsi inayofanyika katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam.
DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO – BUSISI) KUTUMIKA IFIKAPO 30 DISEMBA 2024
Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi), lenye urefu wa kilomita 3.0 na barabara unganishi ya kilomita 1.66, linatarajiwa kuanza kutumika tarehe 30 Disemba 2024. Daraja hili linalojengwa na kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation na China Railway 15 Bureau Group Corporation (CCECC – CR15G JV) kwa gharama ya …
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi zawadi ya mlango wa Zanzibar (Zanzibar Door) kabla ya ufunguzi Rasmi wa Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024.
#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #NEMC #wizarayaafya #wizarayaujenzi
Soma zaidi »BANDARI YA DAR ES SALAAM INAPANUKA NA KUIMARIKA: HATUA MUHIMU KWA UCHUMI WA TANZANIA
Bandari ya Dar es Salaam ni kitovu muhimu cha biashara na uchumi wa Tanzania, na inaendelea kuimarika kupitia uwekezaji mpya na miradi mingine inayotegemea bandari hiyo. Hivi karibuni, kumekuwa na maendeleo makubwa yanayolenga kuboresha miundombinu na huduma zinazotolewa katika Bandari ya Dar es Salaam. Moja ya miradi muhimu ni upanuzi …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+