NEMC YASISITIZA UMUHIMU WA WAWEKEZAJI KULIPA ADA NA TOZO ZA MAZINGIRA
LIPA ADA ZA MAZINGIRA KWA MUSTAKABALI WA MAZINGIRA NCHINI
NEMC YAFAFANUNUA UMUHIMU WA RASILIMALI MISITU KATIKA UTUNZAJI WA MAZINGIRA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti wa kumbukumbu pembezoni mwa Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania Jijini Dodoma
NEMC YATOA WITO KUELEKEA SIKU YA KUONDOA TAKA MACHI 30,2025
NEMC YAFANYA MAKUBWA USAJILI WA MIRADI KWA KIPINDI CHA MIAKA MINNE YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA
JE UNAJUA MAJI NI UHAI UNAOLINDA AFYA NA MAZINGIRA
Maji ni rasilimali muhimu inayochangia moja kwa moja katika afya ya binadamu na uhai wa mazingira yetu. Upatikanaji wa maji safi na salama husaidia kuzuia magonjwa, kuimarisha lishe, na kuboresha hali ya maisha kwa ujumla. Mbali na afya, maji yana mchango mkubwa katika kulinda mazingira kwa kusaidia ukuaji wa mimea, …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+